DPP sasa akata rufani Lwakatare kufutiwa ugaidi

· Posted in ,

Kesi inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare na mwenzake, Joseph Ludovick Rwezaura, sasa imetua Mahakama ya Rufani, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuiomba mahakama hiyo kuingilia kati. Lwakatare na Rwezaura, walikuwa wakikabiliwa na kesi ya ugaidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, lakini Mahakama Kuu iliwafutia mashtaka hayo na kubaki na shtaka la kula njama. 

TAARIFA KWA UMMA: Faida ya gesi asilia kwa mikoa ya Lindi na Mtwara

1. UTANGULIZI

Gesi asilia iligunduliwa kwa mara ya kwanza hapa nchini Mwaka 1974 kwenye Kisiwa cha Songo Songo, Mkoani Lindi. Ugunduzi mwingine umefanyiaka katika maeneo ya Mtwara Vijijini (Mnazi Bay, 1982 na Ntorya, 2012), Mkuranga (Pwani, 2007) na Kiliwani (Lindi, 2008). Kiasi cha gesi asilia iliyogunduliwa katika maeneo haya inakadiriwa kuwa futi za ujazo trilioni 8. Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, kumekuwa na kasi kubwa ya utafutaji mafuta na gesi asilia uliojikita zaidi kwenye maji ya kina kirefu cha bahari. Kiasi cha gesi asilia iliyogunduliwa katika kina kirefu cha maji ni takribani futi za ujazo trilioni 33.7. Jumla ya gesi asilia iliyogunduliwa nchi kavu na baharini inafikia takribani futi za ujazo trilioni 41.7.

Ten more years of Mugabe? President of Zimbabwe, 89, signs new constitution limiting power to two terms - unless you've been in office for 33 years

· Posted in ,

  • Robert Mugabe signed new constitution that replaces document from 1980 
  • Clips presidential powers and limits them to two five-year terms 
  • Cannot be applied retroactively so Mugabe could stay in power 
President Robert Mugabe may remain in power for a further ten years after signing a new constitution

President Robert Mugabe may remain in power for a further ten years after signing a new constitution

Powered by Blogger.

Jiunge nasi Hapa